Kocha
Thom Sainfiet (kushoto) na mmoja wa wagombea nafasi za wajumbe wa
Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Peter Haule, wakifuatilia mazoezi ya
timu hiyo.Beki
wa Kijitonyama Stars, akipiga mweleka baada ya kupigwa chenga na kiungo
mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, kwenye mazoezi hayo.Mwanachana wa Yanga, Abdalah Bin Kleb (kulia) akimueleza jambo kocha.
Peter Haule akimpeleka kocha kwenye gari aliloandaliwa kuondoka nalo baada ya mazoezi. Mwenyekiti
wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Seif Magari (kushoto) akizungumza na
wachezaji wa timu hiyo, Hamis Kiiza na Kipa Yaw Berko (kulia).Kocha akijiandaa kuingia kwenye gari aliloandaliwa.
WACHEZAJI wa kikosi cha Yanga leo walifanya mazoezi ya kujituma kwa
hali na mali katika Uwanja wa Bora uliopo Kijitonyama jijini Dar es
Salaam, ili kuonyesha uwezo wao kwa kocha mpya wa timu hiyo, Thom
Sainfiet, aliyefika uwanjani hapo kuhudhuria mazoezi ya timu hiyo kwa
mara yake ya kwanza.
No comments:
Post a Comment